Kwa maana hii inawezekana na upinzani nao wakipata nafasi wataanza kwanza kukijenga chama kiuchumi kabla ya kuanza kuijenga nchiRuzuku ni ndogo sn 106M kwa mwezi ukitoa mishahara ya watendaji nchi nzima, matumizi n.k pale hakuna kitu, CCM wanapokea ruzuku zaidi 3B kwa mwezi lakini bado wana vyanzo kama viwanja, kodi kwenye majengo yao, michango ya lazima na pesa wanazochukua serikalini kwa wizi lakini bado kuna njaa ya kutosha.
Patachimbika na nani? Wewe kwenye maandamano tu uliingia mitini ukamwacha Mwenyekiti na Binti yake wakisondekwa lockup. Wewe sikuamini tena unachosema huwa humaanishi kabisa.Patachimbika
Nyinyi ndio mnakula hiyo ruzuku ya CDM lazima utetee usiku na mchana.Ruzuku ni ndogo sn 106M kwa mwezi ukitoa mishahara ya watendaji nchi nzima, matumizi n.k pale hakuna kitu, CCM wanapokea ruzuku zaidi 3B kwa mwezi lakini bado wana vyanzo kama viwanja, kodi kwenye majengo yao, michango ya lazima na pesa wanazochukua serikalini kwa wizi lakini bado kuna njaa ya kutosha.
Wewe mamluki ndio wa kuniamini mimi? Kila siku mnapanga kuniloga leo uniamini!Patachimbika na nani? Wewe kwenye maandamano tu uliingia mitini ukamwacha Mwenyekiti na Binti yake wakisondekwa lockup. Wewe sikuamini tena unachosema huwa humaanishi kabisa.
Wapange kukuloga wewe una nini? Kukuloga wewe ni kupoteza dawa bure!!🤣🤣Wewe mamluki ndio wa kuniamini mimi? Kila siku mnapanga kuniloga leo uniamini!
Hujamuana akiwa ofisini yupo smart. Ni kama Magufuri hivi alichokuwa anaongea akiwania kiti na kunadi makada wake akina GwajimaHatajafukia hatua ya kuwa na rais ambae mdomo wake hauna break.
Mzee mdomo ukishakuwa mchafu haijalishi uko wapi.Huyu kiumbe hatukatai kuwa anazo akili nyingi ila amekosa sana break.Hujamuana akiwa ofisini yupo smart. Ni kama Magufuri hivi alichokuwa anaongea akiwania kiti na kunadi makada wake akina Gwajima
umejiunga jf j5 ili kutumikishwa kwenye laana ya uongo ili upate nini?CATHERINE RUGE AWALAZA CHUMBA KIMOJA MBOWE NA SALUM MWALIMU
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kuzama kwenye mgogoro wa ndani unaochochewa na mahusiano tata ya kimapenzi baina ya viongozi wake wakuu.
Mapenzi haya yameleta mfarakano mkubwa katika uongozi wa chama, hali inayotishia kuathiri mustakabali wa kisiasa wa CHADEMA mbele ya wapiga kura.
Habari za ndani zinadokeza kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa, Catherine Ruge, aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, na wawili hao wamejaliwa kupata mtoto mmoja.
Hata hivyo, mahusiano yao yamefifia huku Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe, akihusishwa kuwa mpenzi mpya wa Catherine, jambo ambalo limezua uhasama mkubwa na kuzidisha mgawanyiko ndani ya chama.
Viongozi wanasema kuwa mgogoro huu wa mapenzi umemuharibia Salum nafasi yake ya ushawishi, huku chama kikimshuku kuwa huenda anapanga kujiunga na CCM kutokana na kusifia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan.
Kutengwa kwake kisiasa kumekuja na matokeo makubwa, kwani mara kadhaa amewekwa pembeni kwenye vikao vya maamuzi vya CHADEMA, huku ikielezwa kwamba hata hoteli anayofikia Mbowe haimruhusu Salum kuingia, ikitoa nafasi kwa Mbowe na Catherine kufurahia uhusiano wao bila kizuizi.
Migogoro ya aina hii si tu inachochea mgawanyiko bali pia inapoteza imani ya wanachama na umma kwa ujumla.
Badala ya kuimarisha upinzani dhidi ya CCM, viongozi wa CHADEMA wanajihusisha na migogoro binafsi inayochochea fitina na usaliti.
Ikiwa hali hii haitadhibitiwa, chama kinaweza kuendelea kudhoofika, kikikosa umoja na dira, na hatimaye kupoteza nafasi yake kama mpinzani imara wa kisiasa nchini.
Huyo ndio ataleta nidhamu ya kaziMzee mdomo ukishakuwa mchafu haijalishi uko wapi.Huyu kiumbe hatukatai kuwa anazo akili nyingi ila amekosa sana break.
Kwa CDM ni ngumu kwa maana viongozi wakuu wa chama wengi wao wanaamini kataika siasa za matukio zaidi .Muwe na mipango mikakati mfano miaka 2-3 hadi mitano hivi.
Vision yenu ni ipi?
Mission je ?
Targets ?
How to archive?
Activities?
Budget ?
Source of finance?
Rizuku ni kiasi gani?
Nasikia hakuna uwazi sana juu ya hilo Sijui ni kweli?
Rizuku inafanya kazi gani na gani?
Na ijulikane wanachama na public tujue .
CAG report iseme.
Hesabu za political parties zinatakiwa published kwenye government gazette na vyombo vya habari tuone uwazi.
Duh!,toka nyerere kweli!?Toka awamu ya kwanza mmekuwa mkifanya majaribio ya hiko kiti mpaka sasa....
Kwa akili yako unaona magufuri hakuwa na sifa za kuwa rais kwelIngekuwa sio cha kufanyia majaribio ccm wasinge teuwa vichwa maji wawili kuwania uraisi 2015. Na vichwa maji hao wamekuwa maraisi. No wote kwa wakati tafauti mmoja Kawa jiwe, na mwingine Kawa chura badala ya kuwa raisi.
Naona siku hizi wamepunguza kukusanya maokoto kwenye mikutano yao,lazima kuna issue hapa sio bureNyinyi ndio mnakula hiyo ruzuku ya CDM lazima utetee usiku na mchana.