johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tundu Lisu hana Bei pamoja na Mapungufu mengi tu aliyonayo
Siku ukiona Tundu Lisu amepokea Hela ya CCM na ikathibitika Ujue Siku hiyo ndio Chadema imezikwa rasmi
Kimsingi Chadema imeshakufa baada ya Mbowe kuuvaa Mtego wa CCM Kwenye ile issue ya Ugaidi kilichobaki ni mazishi yake tu na atakayeamua izikwe Machame au Ikungi ni Tundu Antipas Lisu
Ahsanteni sana 🐼
Siku ukiona Tundu Lisu amepokea Hela ya CCM na ikathibitika Ujue Siku hiyo ndio Chadema imezikwa rasmi
Kimsingi Chadema imeshakufa baada ya Mbowe kuuvaa Mtego wa CCM Kwenye ile issue ya Ugaidi kilichobaki ni mazishi yake tu na atakayeamua izikwe Machame au Ikungi ni Tundu Antipas Lisu
Ahsanteni sana 🐼