20 September 2024
Chama cha siasa cha CHADEMA kilicho na ushawishi mkubwa leo kwa ajili ya hamu ya watanzania kufahamu mengi wamekusanyika kuongezewa maarifa ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=kNYzqMWbOGc
Tundu Lissu alikua anaongea katika mjadala kuhusu masuala ya demokrasia Tanzania, leo Septemba 20,2024, katika viunga vya Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM ...
Wakimsikiliza kwa umakini mkubwa waandoshi wa habari wameelezewa nafasi yao kama mhimili wa nne katika chujio la kueneza maarifa (check and balance ) ... ikiwemo wakati huu nchi inapoelekea kufanya uchaguzi wa 2024 na baadaye mwakani uchaguzi mkuu 2025 ..
Chama cha siasa cha CHADEMA kilicho na ushawishi mkubwa leo kwa ajili ya hamu ya watanzania kufahamu mengi wamekusanyika kuongezewa maarifa ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=kNYzqMWbOGc
Tundu Lissu alikua anaongea katika mjadala kuhusu masuala ya demokrasia Tanzania, leo Septemba 20,2024, katika viunga vya Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM ...
Wakimsikiliza kwa umakini mkubwa waandoshi wa habari wameelezewa nafasi yao kama mhimili wa nne katika chujio la kueneza maarifa (check and balance ) ... ikiwemo wakati huu nchi inapoelekea kufanya uchaguzi wa 2024 na baadaye mwakani uchaguzi mkuu 2025 ..
ASKOFU - "WAANDISHI WA HABARI WANA UTAPIAMLO WA ELIMU"