Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Watu wameamua kukushit kama kopo la chooni hata ukiweka hivyo vitoi vyako dadeeeekiiiiiii
In God we trust
 
Utaweka hivyo vitoi hadi karne ijayo hakuna atakaye kuelewa na uzuzu wako
In God we trust
 
Mkuu wacha kupoteza calories zako kumuelewesha kondoo kucheza mziki maana hatokuelewa maana tayari kapewa special assignment kupinga
Tazama vizuri kama hayo magari yanafanana kabla ya kupinga kwa hoja dhaifu. Hayo magari mawili uliyoonesha hapo hayafanani hata kidogo.

In God we trust
 
Ooh, kumbe ndivyo ilivyo!
Hakuna Cha basi wala nini mkuu.. Full comedy za PHOTOSHOP.. ndo maana wenye akili wa CHADEMA wameuchunia huu uzi baada ya kugundua ni utoto unaoendelea... jaribu ku google Kama kwenye image chini utaona walipotoa hilo basi waka PHOTOSHOP wakamzawadia Lissu kupitia Jamii Forums...
 

Attachments

  • Screenshot_20190312-231502.png
    118.4 KB · Views: 18
Utaweka hivyo vitoi hadi karne ijayo hakuna atakaye kuelewa na uzuzu wako

In God we trust
Nitaendelea kuwaelimisha watu, ili wajue kuwa Jamii Forums imeingiliwa na mataahira design yako.Usishangae watu wanaupita Uzi kimya kimya, kabla hatujawaelewesha story ilishaanza kuvuma wakihisi ni kweli, baada ya kutupia Link wamekupuuza na uzi wako.Hushangai Uzi ndo umefika mwisho?.. Eti we taahira??
 
Hakuna mtu mwenye akili atafuata akili zako mgando
In God we trust
 
Iikitua hapa, linapigwa kodi hadi linashindwa kugombolewa alafu linapigwa mnada...


Cc: mahondaw
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…