Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

CCM wanajikanyaga sana ..yaani mwaka huu sijui kama kuna rangi wataacha kuona
Naipenda sana Siasa hasa ya Tanzania especially nikiona Watu wanavyojiingiza mzima mzima bila ya kuweka Akiba ya Maneno
 

Tundu Lissu alijipa Kazi ya Utabiri Masikini ya Mungu

Leo Hii yupo Kitandani Ulaya anauguza Vidonda wenzie huku wapo kwenye Chereko za kukaribisha Mwaka Mpya 2018
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…