johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Maandiko yanasema Wana wa ngurumo Petro, Yakobo na Yohana hawakuwa na Fedha bali walichokuwa nacho ni "Kumpa yule Mlemavu wa Miguu Kutembea".
Yule mlemavu alikaa pale akiamini Fedha (Madera na tukutuku) ndio uponyaji wake lakini Wana wa Ngurumo wakampa Kutembea (Elimu) naye akasimama na kwenda zake kuyafurahia maisha
Tumemuona Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mh. Joseph Mbilinyi aka Sugu akigawa madera kwa wapigakura wake wanyonge akiamini anawasaidia.
Wewe Tundu Antipas Lissu endelea kuwalisha Wapigakura Elimu ya Katiba lakini bila kulalamika wala kukejeli na kushambulia mtu yoyote.
Mavuno ni mengi Watenda Kazi wachache.
Mungu wa mbinguni aibariki Jumatatu Yako. 😄😄
Yule mlemavu alikaa pale akiamini Fedha (Madera na tukutuku) ndio uponyaji wake lakini Wana wa Ngurumo wakampa Kutembea (Elimu) naye akasimama na kwenda zake kuyafurahia maisha
Tumemuona Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mh. Joseph Mbilinyi aka Sugu akigawa madera kwa wapigakura wake wanyonge akiamini anawasaidia.
Wewe Tundu Antipas Lissu endelea kuwalisha Wapigakura Elimu ya Katiba lakini bila kulalamika wala kukejeli na kushambulia mtu yoyote.
Mavuno ni mengi Watenda Kazi wachache.
Mungu wa mbinguni aibariki Jumatatu Yako. 😄😄