Laigwanaan Lissu hatowahi kuwa Raisi wa Tanzania.
Ni kwasababu hivi sasa anaonekana kuwa anapata viwewe, anaweweseka, ana woga na wasiwasi saa zote. Yaani anaoyesha dalili zote za kuwa na PTSD. Usiombee mtu yeyote yule apitie aliyoyapitia Lissu.
Na hiyo inatokana kuwa Lissu ni mhanga wa kupigwa risasi kwa kujitoa mhanga ili mazingira ya Usalama wa wafanyasiasa utiliwe mashaka na hatimaye Nchi ionekane haina Usalama.
Hata atoe elimu gani, ama adanganye vipi, au afoke, atukane, adhalilishe, asambaratishe pamoja na kujikosha kutaka apewe kura za Huruma, hatokuja kuwa Raisi wa Nchi hii.