Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya CHADEMA inakataza Wagombea kutoa fedha au Rushwa ya ngono kipindi cha uchaguzi!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya CHADEMA inakataza Wagombea kutoa fedha au Rushwa ya ngono kipindi cha uchaguzi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema ambaye Kitaaluma ni Mwanasheria anesema Katiba ya CHADEMA inakataza Kabisa Wagombea kutoa fedha wakati wa uchaguzi Kwa sababu yoyote ile

Aidha Katiba imekataza kutoa Rushwa ya ngono au mahusiano ya kingono Ili kujipatia Faida ya kuchaguliwa au kuchagua

Source Jambo TV

Happy New Year 😄
 
Back
Top Bottom