johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lissu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungi hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Afrika bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lissu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼
Fikiria kama Tundu Lissu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungi hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Afrika bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lissu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼