johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ZENGWE LIPI? Samia amejiandikisha wapi? ana zengwe gani? Mbowe? Mpango? wewe vipi?Siasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lisu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungu hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Africa bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lisu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼
Mbege uliyokunywa Leo usikae jirani na wahuni 🐼ZENGWE LIPI? Samia amejiandikisha wapi? ana zengwe gani? Mbowe? Mpango? wewe vipi?
Ulitaka nimtaje anayekunoa miguu? 🐼Mtoa mada hawezi kumaliza siku bila kumtaja TAL hii ni hatar sana kwa mtu mzima mwanaume
Hapa ulitaka kusemaje labda ambacho ni habari kwako ?
Nasikia ulikwenda kwa P. Didy😀😀😀😀😀😀Mbege uliyokunywa Leo usikae jirani na wahuni 🐼
Akili ndogo ni sumu ya mwili.Ulitaka nimtaje anayekunoa miguu? 🐼
umeamka na mtusi, ulaaniwe na shetani 😀😀😀😀Ulitaka nimtaje anayekunoa miguu? 🐼
Wewe ni Mtu mzima Bwashee utadhalilisha Viongozi wako Bure wanaosupport hizo faraghaNasikia ulikwenda kwa P. Didy😀😀😀😀😀😀
Na wewe huwezi kutulia bila Uzi unaomuhusu Tundu Lissu!! ANZA KUJISHANGAA mwenyeweMtoa mada hawezi kumaliza siku bila kumtaja TAL hii ni hatar sana kwa mtu mzima mwanaume
Hapa ulitaka kusemaje labda ambacho ni habari kwako ?
na jina lake halipo hata kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na hakuwa kujiandikisha.Siasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lisu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungu hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Africa bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lisu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼
Kaweka mpira kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lisu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungu hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Africa bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lisu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" [emoji43][emoji43][emoji848]
Ahsanteni sana [emoji209]
Jo nyuzi zako Huwa zinafurahisha..Siasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lisu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungu hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Africa bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lisu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼
Tundu mjanja, hata ushoga anaupigia chapuo kiaina . Mkwanja anavuta mwenyewe hana mpango kihiiivyo na CHADEMA🤣🤣🤣ZENGWE LIPI? Samia amejiandikisha wapi? ana zengwe gani? Mbowe? Mpango? wewe vipi?
Your wishes! Your thinking!Tundu mjanja, hata ushoga anaupigia chapuo kiaina . Mkwanja anavuta mwenyewe hana mpango kihiiivyo na CHADEMA🤣🤣🤣
CCM ni shetani kabisaSiasa ni Sayansi
Fikiria kama Tundu Lisu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungu hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo
Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki kuanzia Kijijini Kwake
Siasa za Africa bado ni za Bahati Nasibu na hapo Lisu ameupiga mwingi ndio sababu unasikia Vilio kila Kilinge " hajajiandikisha" "hajajiandikisha" " hajajiandikisha" 😵😵🤔
Ahsanteni sana 🐼
UWT wanapewa maelekezoMtoa mada hawezi kumaliza siku bila kumtaja TAL hii ni hatar sana kwa mtu mzima mwanaume
Hapa ulitaka kusemaje labda ambacho ni habari kwako ?
Wishes gani kwani Lisu haungi mkono ushoga?Your wishes! Your thinking!