Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 185
- 715
Habari wanabodi,
Nimekuwa nikifatilia siasa za ndani na nje ya Tanzania yetu hii.kiukweli juzi kitedo cha Mama kufuta mashtaka yote ya TAL ni ishara kwmba tuna katiba mbaya kuwahi kutokea ,amemruhusu aje Tz kama kaweza kufuta mashtaka thats means anaweza mpa yoyote yule mashtaka.
Tubadili mtazamo #Bila katiba#mpya#hatuwezi fika
#nawasilisha
Nimekuwa nikifatilia siasa za ndani na nje ya Tanzania yetu hii.kiukweli juzi kitedo cha Mama kufuta mashtaka yote ya TAL ni ishara kwmba tuna katiba mbaya kuwahi kutokea ,amemruhusu aje Tz kama kaweza kufuta mashtaka thats means anaweza mpa yoyote yule mashtaka.
Tubadili mtazamo #Bila katiba#mpya#hatuwezi fika
#nawasilisha