johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimepenyezewa muda huu kwamba Tundu Lissu atatangaza Operesheni ya kuibua Ufisadi kwenye Halmashauri zote nchini.
Hivyo Wakurugenzi ambao ndio Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wanaambiwa "Kaa Chonjo Saa Mbaya".
Ngoja tuone maana Chongolo na Mjema nao wamewaka sana kule CCM.
Kaa Chonjo Saa Mbaya by TAL.
Hivyo Wakurugenzi ambao ndio Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wanaambiwa "Kaa Chonjo Saa Mbaya".
Ngoja tuone maana Chongolo na Mjema nao wamewaka sana kule CCM.
Kaa Chonjo Saa Mbaya by TAL.