Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
kurunzi letu limenasa habari za mkutano wa siri unapangwa kuwakutanisha Ndugu Tundu Lissu na Danielle Viotti.
Danielle Viotti ni rais mwenza wa taasisi ya wabunge katika bunge la ulaya wenye kutetea maslahi ya mashoga na ndoa za jinsia moja ijulikanayo kwa kimombo kama ''European Parliament Intergroup on LGBT Rights'', kundi hili linajishughulisha na kutetea haki za mashonga ndani na nje ya jumuiya ya ulaya.
Hadi sasa hatujui kwa haraka wabunge hao wa ulaya wanataka kujadili maslahi gani na Tundu Lissu japo mrengo wa kundi hilo unaeleweka. Nimejiuliza maswali yafuatayo baada ya kupenyezewa habari hizo;
1. Je wabunge hawa wa ulaya wana makubaliano na wabunge wa Chadema?
2. Je wanakutana na Tundu Lissu binafsi na makubaliano yatabaki kuwa binafsi?
3. Je wanataka kufadhili harakati za Tundu Lissu na Chadema?
mlolongo wa maswali ni mrefu sana, nitaweka vinasa sauti eneo la tukio na kuwaletea lolote litakalojadiliwa.
kurunzi letu limenasa habari za mkutano wa siri unapangwa kuwakutanisha Ndugu Tundu Lissu na Danielle Viotti.
Danielle Viotti ni rais mwenza wa taasisi ya wabunge katika bunge la ulaya wenye kutetea maslahi ya mashoga na ndoa za jinsia moja ijulikanayo kwa kimombo kama ''European Parliament Intergroup on LGBT Rights'', kundi hili linajishughulisha na kutetea haki za mashonga ndani na nje ya jumuiya ya ulaya.
Hadi sasa hatujui kwa haraka wabunge hao wa ulaya wanataka kujadili maslahi gani na Tundu Lissu japo mrengo wa kundi hilo unaeleweka. Nimejiuliza maswali yafuatayo baada ya kupenyezewa habari hizo;
1. Je wabunge hawa wa ulaya wana makubaliano na wabunge wa Chadema?
2. Je wanakutana na Tundu Lissu binafsi na makubaliano yatabaki kuwa binafsi?
3. Je wanataka kufadhili harakati za Tundu Lissu na Chadema?
mlolongo wa maswali ni mrefu sana, nitaweka vinasa sauti eneo la tukio na kuwaletea lolote litakalojadiliwa.