Wakuu,
Akiwa kwenye mdahalo siku ya leo, Lissu ametoboa siri kwanini CHADEMA huwa hawasimamishi mgombea wa Urais kwenye Uchaguzi wa Zanzibar.
Lissu amesema kuwa CHADEMA hawasimamishi mgombea Urais Zanzibar kwa sababu, Zanzibar ina mfumo wa vyama viwili tu vya siasa.
Lissu amedokeza kuwa ni vyema kwa CHADEMA kufanya "strategic alliance" na ACT Wazalendo ili CHADEMA iweze kupata nafasi kisiwani humo
View attachment 3204802