johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati akihojiwa na Chief Odemba pale Star tv Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu alisema Rais Samia ameshughulikia mambo mepesi lakini Mazito yanayohitaji kubadili sheria bado hajayagusa tuzidi kumuombea
Lisu alisema mambo ambayo Rais ameshayashughulikia ni pamoja na kuwafutia kesi viongozi wakuu wa Chadema pamoja na Wanachama wa kawaida, pia Rais ameruhusu Mikutano ya hadhara
Ni jambo jema sasa Waziri wa Katiba na Sheria ameanza mchakato wa kisheria wa kuiendea Katiba Mpya
Dominica Njema!
Lisu alisema mambo ambayo Rais ameshayashughulikia ni pamoja na kuwafutia kesi viongozi wakuu wa Chadema pamoja na Wanachama wa kawaida, pia Rais ameruhusu Mikutano ya hadhara
Ni jambo jema sasa Waziri wa Katiba na Sheria ameanza mchakato wa kisheria wa kuiendea Katiba Mpya
Dominica Njema!