LGE2024 Tundu Lissu: Mkuu wa Mkoa haruhusiwi kufanya kampeni akija mumkatae, kama mtamzuia kwa mawe ni juu yenu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
LISSU AMVAA MKUU WA MKOA WA SIMIYU KWA KUFANYA KAMPENI LAMADI
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amvaa vikali Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kufanya kampeni, awataka wananchi wamkatae, "kama mtamzibia barabara kumwambia mkuu wa Mkoa hapa unakosea, huendi popote, kama mtamfuata na kwenda kumzomea juu yenu, msiogope"

Lissu ameyaongea hayo akiwa Lamadi mkoani Simiyu akielekea mkoani Mara kwenye ufunguzi wa kampeni wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 21, 2024

Soma pia: Same: Polisi yazuia mkutano wa hadhara wa Tundu Lissu, yasema ni kufanya kampeni uchaguzi S/Mitaa kabla ya muda

Your browser is not able to display this video.

Chanzo: Mwanzo TV plus
 
He is right
 
AMEOMBA RUHUSA KWA MBOWE KUONGEA HUO UTUMBO WAKE HADHARANI?
 
He is right
Politically right, but not realistically. Change ain't easy, it takes time to heal afterwards and yet not too common in our nation, tortoise kind like speed... maji kwenye kinu, I know my country, I know my people, Little ambitious beings to haveeverycomeacrosstheplanet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…