LISSU AMVAA MKUU WA MKOA WA SIMIYU KWA KUFANYA KAMPENI LAMADI
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amvaa vikali Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kufanya kampeni, awataka wananchi wamkatae, "kama mtamzibia barabara kumwambia mkuu wa Mkoa hapa unakosea, huendi popote, kama mtamfuata na kwenda kumzomea juu yenu, msiogope"
Lissu ameyaongea hayo akiwa Lamadi mkoani Simiyu akielekea mkoani Mara kwenye ufunguzi wa kampeni wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 21, 2024
LISSU AMVAA MKUU WA MKOA WA SIMIYU KWA KUFANYA KAMPENI LAMADI
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amvaa vikali Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kufanya kampeni, awataka wananchi wamkatae, "kama mtamzibia barabara kumwambia mkuu wa Mkoa hapa unakosea, huendi popote, kama mtamfuata na kwenda kumzomea juu yenu, msiogope"
Lissu ameyaongea hayo akiwa Lamadi mkoani Simiyu akielekea mkoani Mara kwenye ufunguzi wa kampeni wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 21, 2024
LISSU AMVAA MKUU WA MKOA WA SIMIYU KWA KUFANYA KAMPENI LAMADI
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amvaa vikali Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwa kufanya kampeni, awataka wananchi wamkatae, "kama mtamzibia barabara kumwambia mkuu wa Mkoa hapa unakosea, huendi popote, kama mtamfuata na kwenda kumzomea juu yenu, msiogope"
Lissu ameyaongea hayo akiwa Lamadi mkoani Simiyu akielekea mkoani Mara kwenye ufunguzi wa kampeni wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 21, 2024
Politically right, but not realistically. Change ain't easy, it takes time to heal afterwards and yet not too common in our nation, tortoise kind like speed... maji kwenye kinu, I know my country, I know my people, Little ambitious beings to haveeverycomeacrosstheplanet.