JULIUS NYERERE-Humanist,Politician ,and Thinker.-POLE SANA TUNDU LISU,HUNA HADHI YA KUMKEJELI BABA WA TAIFA,JIKITE KATIKA KUJENGA HOJA ZAKO TU,UTAELEWEKA.
Mkuu, kama umeziona hoja za Mh. Lissu ni valid, kwa nini sasa unaanza kunitupia lawama wakati ninawakilisha kile amekisema?. Makosa yangu yako wapi hapa zaidi ya mimi kuhoji umaana wa bunge kujikita sana kwenye suala la karatasi za muungano.Mkuu.
Mbona ya Shivji , Mwakyembe na ya ma Proff. Hukuyasema.
Wale wale ambao hamsomi bible nzima, mnarukia viji mistari tu ili kujenga hoja zenu mfu.
By the way Lissu kaongea uongo kwani ?
Mkataba wa Muungano ni lini Serikali ya Kuanzia Nyerere mpaka JK ulipelekwa UN ?
Kuanzia janq binafsi nimeanza kumtizama the late Julius kwa jicho la tatu.
No wonder all the Problems we have now source yake ni yeye.
Mkuu.
Mbona ya Shivji , Mwakyembe na ya ma Proff. Hukuyasema.
Wale wale ambao hamsomi bible nzima, mnarukia viji mistari tu ili kujenga hoja zenu mfu.
By the way Lissu kaongea uongo kwani ?
Mkataba wa Muungano ni lini Serikali ya Kuanzia Nyerere mpaka JK ulipelekwa UN ?
Kuanzia janq binafsi nimeanza kumtizama the late Julius kwa jicho la tatu.
No wonder all the Problems we have now source yake ni yeye.
Mkuu, kama umezionamhoja za Mh. Lissu ni valid, kwa nini sasa unaanza kunitupia lawama wakati ninawakilisha kile amekisema?. Makosa yangu yako wapi hapa zaidi ya mimi kuhoji umaana wa bunge kujikita sana kwenye suala la karatasi za muungano.
Kama huu Muungano siyo halali basi hakuna hata umaana wa kuichambua Rasimu ya. Katiba kwa sababu itakuwa imejengeka kwenye msingi wa uwongo kulingana na hadidu za rejea. Kwa maana nyingine, hakuna Muungano!.
Umeona eeh, FaizaFoxy kila akimponda Nyerere huwa anashambuliwa sana humu JF. Leo FaizaFoxy anauliza, kiko wapi?
Sasa ndio watamuelewa FaizaFoxy kuwa hakisii.
Ukisema dunia nzima utakuwa haujaitendea haki hoja yako.Dunia nzima masuala ya muungano ubabe hutumika...hata marekani hawaruhusu mtu
Ahoji muungano wao sababu ubabe ulituzmika
Angekuwa wapi?kwan Nyerere mwenyewe alitoka wap?huko alipotokea ndipo na wengine akiwepo Lissu wangetokea.Nyerere ni binadamu tu aliyekuwa na mapungufu,weka hilo akilini mwako.Huyu Lissu ni mropokaji, bila Mwalimu Nyerere ajiulize leoangekuwa wapina anafanya nini? Hata afanye nini hawezi kubadili historia ya Mwalimu Nyerere katika Taifa na Dunia kwa ujumla.
JULIUS NYERERE-Humanist,Politician ,and Thinker.-POLE SANA TUNDU LISU,HUNA HADHI YA KUMKEJELI BABA WA TAIFA,JIKITE KATIKA KUJENGA HOJA ZAKO TU,UTAELEWEKA.
Tundu Lissu, kwenye ili la kumponda Nyerere, pro-Chadema wapo kimya masikini.
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost
adui wa nyerere mzee mtei atakuwa alimtuma tundu lisu amtukane nyerere
Bwa mdogo hatofika mbali.Huyu kilaza hajui yeye asingekuwa bungeni kama sio kazi. Ya Mwalimu
Bwa mdogo hatofika mbali.Huyu kilaza hajui yeye asingekuwa bungeni kama sio kazi. Ya Mwalimu
Mimi ninachosema ni kile ambacho Mh. Tundu Lissu amekisema. Sasa kama hoja yangu ni mfu basi hata kile ambacho Mh. Tundu Lissu amekisema kitakuwa ni mfu kitu ambacho sikiamini.Ng'wanampalala acha kujenga hoja mfu na kutaka public sympathy, weledi wa Tundu Lissu haufananishwi na wasomi wowote walio ndani ya ccm kwani ni mtu mwenye kwenda na fact na huwa na defending points, rejea hotuba ya mwalimu nyerere kuwa yeye sio malaika na kkuna sehemu yawezekana alikosea aliomba asamehewe, na kushauri watu wafate mazuri aliyoyafanya na sio mabaya aliyoyafanya, Sasa kuna wavivu wa kufikiri mnaleta tafsiri za kupotosha, h
Tundu Lissu ana tumiwa na Wazanzibar!
Nataka niwambie tu wana CCM hii ni vita sasa! Serikali mbili ni lazima,ikishindikana tuvunje muungano na ikiwezekana tuchukue hatua za mbali zaidi!