Tusubiri, ukweli ukidhihiri uongo hujitenga. Kumbuka juzi, Sitta ingawa yupo busy bungeni lakini kaitwa na Pengo na kaenda mbio-mbio, jiuliize kunani?
Ntazitafuta post zako za kumponda FaizaFoxy kila alipokuwa akiyasema hayo aliyoyasema Lissu jana na mengine. Nyerere niliwahi kusema humhumu JF ni ndumila kuwili.
Nyerere kuhusu Muungano wa Zanzibar alifata maelekezo ya Kanisa. Ngoja na Tundu Lissu aitwe na Kanisa muone kama hajabadilika, mtakuja kunambia humuhumu JF.
Kama leo mnavyodiriki kukubali maneno ya FaizaFoxy kwa kuwa tu yametoka kinywani mwa Tundu, basi iko siku mtayakubali na haya ya shinikizo la Kanisa. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Pengo msimamo wake binafsi ni serikali mbili na kashamwambia Sitta...bado Lissu na yeye kupewa maagizoNtazitafuta post zako za kumponda FaizaFoxy kila alipokuwa akiyasema hayo aliyoyasema Lissu jana na mengine. Nyerere niliwahi kusema humhumu JF ni ndumila kuwili.
Nyerere kuhusu Muungano wa Zanzibar alifata maelekezo ya Kanisa. Ngoja na Tundu Lissu aitwe na Kanisa muone kama hajabadilika, mtakuja kunambia humuhumu JF.
Kama leo mnavyodiriki kukubali maneno ya FaizaFoxy kwa kuwa tu yametoka kinywani mwa Tundu, basi iko siku mtayakubali na haya ya shinikizo la Kanisa. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Mkuu, nani amesema hapa kuwa Mwl. Nyerere hakuwa mwanadamu?.
Tukubaliane tu kuwa, Mh. Tundu Lissu amepasua jipu ambalo wengi waliogopa na wanaendelea kuogopa kulipasua. Kwa lugha inayoeleweka na wengi, amemchana chana Mwl. Nyerere na pamoja na kitabu chake cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania.
Unaweza kuwa sawa kutokana na umri wako hiyo hotuba ukaipa hiyo hadhi.Wakuu, hotuba ya Kamanda Lissu Bungeni jana nina uthubutu wa kusema, tena kwa ujasiri kwamba tangu Tanganyika huru iwepo hatujawahi kushuhudia hotuba kali kama ile. Ni hotuba ya kisomi iliyojaa kila aina ya vielelezo na ushahidi, zaidi ya vielelezo 70 (footnotes), sio mchezo.
Ili kukata mzizi wa fitna nawaomba advocates wa Serikali 2 waje na ushahidi na vielelezo visivyo na shaka kukanusha paper ya Kamanda Lissu na sio kupayukapayuka bila mpango wala hoja za maana. I can see kwanini jamaa wanang'ang'ania Serikali 2 kwa udi na uvumba lakini bahati mbaya kwao kadiri wanavyozidi uking'ang'anizi wao ndivyo wanavyozidi kuharibu na kuachwa uchi wa nyama.
Poleni watetezi wa Serikali 2 ambao mnadhani mna akili na uzalendo kuliko Jaji Joseph Warioba, the former Attorney General of the Republic, Prime Minister and VP; kuliko Dr. Salim A. Salim, the former Minister for Defence, Primer Minister, and OAU Chief; kuliko Judge Brig. Gen. Augustine Ramadhan, the former high ranking member of the People's Armed Forces, NEC Chair, and the Chief Justice of the Supreme Court of the People of Tanzania; kuliko magwiji wengine lukuki waliokuwa wamejazana kwenye Tume ya Warioba. Jengeni hoja mueleweke kama Kamanda Lissu alivyofanya na sio kupayuka kama wendawazimu.
Nilistuka sana kusikia eti Nape Nnauye, W. J. Malecela, na Madabida eti wanazunguka huko na huko "kumjibu" Warioba na timu yake iliyojaa vichwa! Are we serious? Kafulila aliuliza Bungeni, hivi Warioba ni binadamu wa kutukanwa nchi hii? Hata kama alifanya makosa anapaswa kukosolewa kwa staha sio kwa matusi ya dhahiri au ya kificho. Kama kweli ni waungwana, CCM wanapaswa kumwomba msamaha Mzee Warioba na watanzania kwa ujumla.
Nakala: Pasco, Chris Lukosi, et. al.
Mkuu.
Mbona ya Shivji , Mwakyembe na ya ma Proff. Hukuyasema.
Wale wale ambao hamsomi bible nzima, mnarukia viji mistari tu ili kujenga hoja zenu mfu.
By the way Lissu kaongea uongo kwani ?
Mkataba wa Muungano ni lini Serikali ya Kuanzia Nyerere mpaka JK ulipelekwa UN ?
Kuanzia janq binafsi nimeanza kumtizama the late Julius kwa jicho la tatu.
No wonder all the Problems we have now source yake ni yeye.
Yeah!Dunia nzima masuala ya muungano ubabe hutumika...hata marekani hawaruhusu mtu
Ahoji muungano wao sababu ubabe ulituzmika
adui wa nyerere mzee mtei atakuwa alimtuma tundu lisu amtukane nyerere
Sita hakuitwa na Pengo.
Yeye mwenyewe ndio alimtafuta.
Na sio Pengo tu alenda pia kuonana na Mufti.
Unafaidika nini hasa na chuki zako za kidini Lakini ?
Pengo msimamo wake binafsi ni serikali mbili na kashamwambia Sitta...bado Lissu na yeye kupewa maagizo
Unaweza kuwa sawa kutokana na umri wako hiyo hotuba ukaipa hiyo hadhi.
sasa kama mtu hadi vyombo vya habari alizuia mi namuona ka dicteta kwan alichotaka yeye ndo kifanyike kazuia maendeleo kwa muda mrefu
na pale alipomnukuu nyerere aliyoyasema gazeti la observer? Na baadae nyerere akawatia ndani waliohoji muungano? Huo si uongo wa nyerere?
Lissu omba radhi. Kumtukana Nyerere ni kuwatukana watanzania
Tatizo unataka kuchukua vyote kwa maana kuwa unataka kukubaliana na hoja ya upande wa Mh. Lisssu. Vile vile unakubaliana na kile ambacho alikuwa anakijengea hoja ya kukiua katika fikra na mitazamo ya watu. Haiwezekani!.Hakuna lolote linalo wapa msukumo wa kumjadili t.lissu bali ni upeo finyu wa kutafakari mambo.
Mimi mwenyewe ni mfuasi na mkereketwa wa siasa za j.k nyerere lakini kwa uchambuzi makini wa jana inanipa muono fulani kuwa uongozi unapande mbili.
1.mema kwa umma kwa manufaa ya wengi.
2.ubaya kwa wachache ili kujenga taifa lililo imara.
Hivi ndivyo mwalimu nyerere alifanya na kwa kipindi hiki cha kutoka kwenye makucha ya wakoloni wa ulaya na arabuni ili kuwa ni sahihi.
Wakati kwa kipindi hichi cha kupambana na mkoloni mweusi c.c.yem pia tundu lissu yuko sahihi kurejea mapungufu yaliyojitokeza ili kuweka mambo sawa kwa watanzania,
na itusaidie kupata katiba bora itakayoweza kudumu zaidi ya miaka 100.
Viva tundu lissu.
Hakuna lolote linalo wapa msukumo wa kumjadili t.lissu bali ni upeo finyu wa kutafakari mambo.
Mimi mwenyewe ni mfuasi na mkereketwa wa siasa za j.k nyerere lakini kwa uchambuzi makini wa jana inanipa muono fulani kuwa uongozi unapande mbili.
1.mema kwa umma kwa manufaa ya wengi.
2.ubaya kwa wachache ili kujenga taifa lililo imara.
Hivi ndivyo mwalimu nyerere alifanya na kwa kipindi hiki cha kutoka kwenye makucha ya wakoloni wa ulaya na arabuni ili kuwa ni sahihi.
Wakati kwa kipindi hichi cha kupambana na mkoloni mweusi c.c.yem pia tundu lissu yuko sahihi kurejea mapungufu yaliyojitokeza ili kuweka mambo sawa kwa watanzania,
na itusaidie kupata katiba bora itakayoweza kudumu zaidi ya miaka 100.
Viva tundu lissu.
Hotuba bora ya karne ile alitoa Dr.Slaa ya kuruhusu gongo Chadema wakitwaa dola.Tuwekee unayoifahamu wewe.