Pre GE2025 Tundu Lissu na Komredi Kinana wanakubali Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na Walakini. Je, 2025 kwenye Free & Fair Election CHADEMA watavunja rekodi ya 2015?

Pre GE2025 Tundu Lissu na Komredi Kinana wanakubali Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na Walakini. Je, 2025 kwenye Free & Fair Election CHADEMA watavunja rekodi ya 2015?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nauliza tu kwa sababu dalili za figisu zimeanza mapema kabisa Kwenye Uchaguzi wa Ndani wa Chadema

2025 hatupendi tusikie visingizio vya CCM kuhonga Wagombea wa Chadema kana Kwamba Wapinzani ni Chadema peke yao

Mlale Unono 😀😀
 
kama viongozi wanaongwa na pesa za madafu za CCM wanaongeka sasa kwa mabeberu na madolali yao si watauza nchi kabisa?.
 
Nauliza tu kwa sababu dalili za figisu zimeanza mapema kabisa Kwenye Uchaguzi wa Ndani wa Chadema

2025 hatupendi tusikie visingizio vya CCM kuhonga Wagombea wa Chadema kana Kwamba Wapinzani ni Chadema peke yao

Mlale Unono 😀😀

Hivi nani anayekudanganya na kumuamini kuwa 2025 uchaguzi utakuwa Free an fair. Kama kweli hawa watu wangekuwa wa kweli basi tungeiona hiyo nia yao. Inaelekea mwenzetu huoni maigizo ya Maza kwa kuwa amewatanguliza Machawa.
 
Hivi nani anayekudanganya na kumuamini kuwa 2025 uchaguzi utakuwa Free an fair. Kama kweli hawa watu wangekuwa wa kweli basi tungeiona hiyo nia yao. Inaelekea mwenzetu huoni maigizo ya Maza kwa kuwa amewatanguliza Machawa.
Tume Huru ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom