Pre GE2025 Tundu Lissu: Nawaambieni Viongozi wenzangu baada ya Uchaguzi huu kila Mtu atakula alikopeleka Mboga, rushwa ni Adui wa Haki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amewaonya Viongozi wazembe ndani ya Chama chake

Lissu amewaomba Viongozi wa Chadema DSM suala la kuvumilia Viongozi wanaopewa rushwa na CCM Ili kuimarisha miradi yao ni lazima lifike mwisho

Chanzo: Mwananchi

My take; Lissu amejilipua

Mlale Unono πŸ˜€
 
Kwisha 🀣🀣🀣🀣
 
Lissu imemchukua muda sana kushtuka kuwa CDM ni SACCOS
 
Lissu amewaomba Viongozi wa Chadema DSM suala la kuvumilia Viongozi wanaopewa rushwa na CCM Ili kuimarisha miradi yao ni lazima lifike mwisho

Chanzo: Mwananchi

My take; Lissu amejilipua

Mlale Unono πŸ˜€
Naunga mkono hoja, rushwa ni mbaya na haivumiliki, ila asije akachanganya pesa za viongozi wa CCM ambazo ni rushwa, kama zile za kununua wabunge na madiwani, na pesa za viongozi wa CCM kusaidia chadema, kama fedha za vile vikao, fedha za zile ziara za viongozi wa Chadema nchi za nje, na kwa vile Chadema ni chama cha kibepari, na baadhi ya viongozi wakuu wa chadema ni mabepari wakubwa, hakuna ubaya wowote kwa mapepari wa Chadema kuomba msaada kwa mabepari wa CCM kusaidiwa fedha za miradi yao binafsi. Fedha hizo sio Rushwa ni bussiness financing na hazina ubaya wowote.

P
 
Kwa maelezo haya unakiri na unatakbua rushwa ndani ya Chadema Hadi cahnnel zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…