Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Nyerere anayeishi!

Sioni hata mfanano huo unaousema wa vinasaba kila kitu hovyo hovyo tu eti ataruhusu wafugaji kuchunga katika mapori ya hifadhi mara atalipa nyongeza za mishahara iliyotakiwa kuongezwa anashindwa kuelewa ya kuwa huko zamani tulichezewa tu akili mtu alikuwa anapandisha mshahara na anaongeza hapo hapo bei ya mafuta kwa mia 200 which was a shit.
 
Na LISSU kakubali kuwa mfanano nae.

Au ni nyie tu matarumbeta yake?
 
Na LISSU kakubali kuwa mfanano nae.

Au ni nyie tu matarumbeta yake?
Broo hivi unajua kuwa ukiwa ndani ya nyumba huwezi kuichora ramani yake paka ukiwa nje..Hivyo basi Lisu anaweza asijione yeye kama anafanana na Mwalimu ila sisi wa nje ndo tunaona...Its hard to Judge yourself
 
Mi si mtumishi, Lakini Kura yangu ilikuwa kwa Lisu kabla hata hajarejea nchini...Ila watumishi wameumizwa sana awamu hii
pole sana ndg nadhani rais kwa sasa ataongeza mshahara na kuongeza pia na bei ya petroleum na diesel
 
Weka ushahidi.
 
Tutamchagua Lissu mwaka huu awe kiongozi wetu mkuu magu atapewa kazi nyingine.
 
Acha blaablaaa......yaani yeye ndo achambue badala wewe mleta hoja ndo ulete ushahidi.....Wapi umeshaona mtuhumu akimwambia hakimu akatafute ushahidi
Fustilia hansard za bunge kuhusu hizo hotuba za Lissu. Kuhusu kauli ya Mtei chambua magazeti utapata.
 
HEBU ACHA KUMFANANISHA NYERERE NA VITU VYA AJABU WEWE
 
Nyerere yupi uliyemuandika hapo? Huyu aliyetukanwa na Lisu au mwingine? Kama ni yeye mbona Hana Radhi yake.
 
Ukweli mchungu

Kupona zile risasi ilikuwa ni somo tosha mwa watawala kwamba wanayoyapanga sio lazima yawe kweli kama wanavyotaka.

Lissu anaenda kuwa Rais wa chi hii kuanzia October.
Haaaaahaaaaa. Kuna wakati lazima kula pop corn and enjoy the show.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…