Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Nyerere anayeishi!

Yaani huyu anayewanyenyekea mabeberu ndiyo unamfananisha na Nyerere?!?! Yaani huyu anayetaka kuwapa nchi yet mabeberu ndiyo unamlinganisha na Mwalimu Nyerere?!? Duh!! God forbid...nadhani uko kwenye twenties...Mwalimu umepata kumuona tu kwenye picha...hujawahi kusoma maandiko yake....sisi wengine tumesoma maandiko yake, tumebahatika pia kumuona na hata wakati mwingine kuandamana naye kwenye majukumu ya kazi...
 
Eti Nyerere anayefanyaje??? Fantasies and Illusions zilizopitiliza. Huyu si ndiye yule aliyesimama bungeni mchana kweupe kutwambia Nyerere alikuwa dictator!! Kivipi leo na yeye afanane na dictator!!
 
Acha blaablaaa......yaani yeye ndo achambue badala wewe mleta hoja ndo ulete ushahidi.....Wapi umeshaona mtuhumu akimwambia hakimu akatafute ushahidi
Sio jukumu langu kama uko interested na kitu inatakiwa uzame kusoma sio kutafuniwa.

Ukubali usikubali Lissu sio sawa na Nyerere.

Endelea kushabikia bila kufanya hata analysis ndogo, Ninaamini hata hiyo ilani ya CADEMA hujaisoma yote ili kujua kilichomo.
 
Angalau ungejiheshimu wala usingeandika Ujinga kama huu..Huyo unaemwita mpumbavu kwakee huingii hata ukucha..shame on you
Lissu Ni mpumbavu, hilo hutakiwi kulipinga Kama kweli una akili timamu.
Swala la huyo 🖕 jamaa kutoweza kuingia kwake hata ukucha unawezaje kulithibitisha hapa?? Au we unadhani Tz hii wote lazima tuishi kwa siasa, au tuwe maarufu🤔? Au we unadhani Lissu Ana Nini Sasa, Cha kuwazidi watanzania wengine kielimu, kipesa, kiafya nk, hata Kama hawafamiki, zaidi ya kipaji chake Cha kubwatuka tu Kama chizi 😂.

Tafuta hela, acha kuwapamba na kuwakingia vifua wanaume wenzako huku majukwaani.Acha kubwekabweka🗣️, bila sababu ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…