Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Kuna uwongo mwingi sana kwenye hotuba za huyu jamaa... Mfano ni swala la magufuli kuua utalii ambalo ameliongelea wakat anahojiwa na radio ya kenya.... Tuwe wa kweli serikali ilipandisha kodi za utalii mkasema inaua utalii na hakuna wageni watakao kuja ila watalii wameendela kuongezeka kila uchwao. Kipind hichi kutali umedondoka sababu ya corona na we were expecting kupokea 1.8M tourist..
Na kama sio best stratergy za kupambana na corona bado tungekuwa tunashangaa tuu kwenye utalii ila leo watu wa arusha furaha inaanza kurejea kwan watalii wanaanza kuingia tumeona ndege kubwa zikiingia nchini recently kuleta watalii.....
Swala la corona ndugu lisu anajikaanga nalo mwenyewe. Imagine tungekuwa tumefungiwa ndani hali yetu ingekuwaje mpaka leo kikubwa ni kumshukuru Mungu madhara ya corona kwetu sio makubwa kiasi hicho, ugonjwa kama huu haufichiki.
Magu anamapungufu yake mengi tuu lakin amefanya mambo mengi na mazuri japo mabaya yapo tuyaseme ila sio kwa maudhui ya kupotosha
Mtu kama lisu ukiulizwa kwa miaka uliyokuwa mbunge umelifanyia nn jimbo lako... Kuna hata kisima kimoja cha maji umechimba... Lema umeifanyia nn arusha mjini cha kukukumbuka... Bungeni umeisemea nn arusha.. vijana wa arusha ambao ndio wengi wanakuchagua umewafanyia nn...
 
Ngojea kampeni zianze utayapata tu
 
Lissu anatumia mbinu ya adui yako mtaje kwa jina ili likitokea la kutokea watu wajue, mchawi mpe mwanao alee!
 
Naomba risit zake ili nikujibu vizur kama hauna risit ka kimya usilete porojo za vijiwe vya kahawa
Lete kwanza risiti za kununulia zile ndege halafu tueleze ni kwa nini mahesabu ya Atcl hayakaguliwi na CAG.
 
Wewe una mapungufu kichwani. Uliyoyataja, yote hayo yalikwishafanywa na watangulizi wake. Maajabu pekee nadhani ni hayo ua upendeleo na ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu akiongea majinga yanakariri bila kufikiria... Sawa waliopita walishafanya kilakitu huyu tulionaye hajafanya jambo!! Lissu tuu ndiye mwenye akili yakufanya vitu!!
 
Majizi anayafukuza halafu anayarudisha inamaana na yeye ni mwizi
 
Mmeanza kumezeshwa maujinga kichwani na tundu? Chato hainahaki kujengwa uwanja wa ndege? Mbona KIA Ipo vijijini? Endeleeni kumskiliza huyo mropokaji asiyeweza kuona mazuri ya wengine.
Wakati wa utawala wa Daniel Moi kuna mgombea wa Eldoret alisema lami ni mambo ya kawaida tu hata mkoloni alijenga, baada ya uchaguzi Moi alipeleka greda likakwangua lami yote na walikaa na barabara ya vumbi hadi uchaguzi uliofuata. Nasisi naona kuna wajinga wanasema barabara daraja ni mambo ya kawaida na watu wanawashangilia,

Uhuru wakumchagua unaye mtaka unao ila uhuru wamaendeleo unayoyataka huo haupo ni walioko Bungeni na baraza la mawaziri ndio watakao amua upate maji barabara umeme zahanati ambulence madawati shule. Ngojeni msipompa kura JPM tunakwangua lami yote na tusisikie mtu akilalamika barabara na hivi ni lala salama hamna mtakachotufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…