Pre GE2025 Tundu Lissu: Singida na Dodoma ni mikoa Maskini inayoongoza kwa kuichagua CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze ni yeye peke yake ndio amewahi kuchaguliwa kama mbunge kutoka chama cha Upinzani, Dodoma ndio Kabisa wanachagua CCM kwa asilimia 100. Lissu anadai Singida na Dodoma ni Mikoa Maskini inayoongoza kwa kuichagua CCM

"Huu mkoa wa Singida tangu mungu ameumba Mbingu na Dunia umechagua mbunge mmoja tu asiye wa CCM na ni huyu anayeongea na nyinyi, mkoa wa Dodoma wao ndio CCM maisha yao yote, lakini ndio masikini kuliko wote sasa niwaulize hizi shida zenu ni mapenzi ya Mungu au CCM?"




Chanzo: Jambo TV
 
CCM na ujinga plus umaskini ni mapacha
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Lissu amesema tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze ni yeye peke yake ndio amewahi kuchaguliwa kama mbunge kutoka chama cha Upinzani, Dodoma ndio Kabisa wanachagua CCM kwa asilimia 100...
UKWELI MCHUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…