johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe ni msemaji wake anamanisha mipango miovu ya wizi wa kura na mikakati mingine ya kishenzi kwenye uchaguzi
Wewe tuletee habari za Jiwe yuko wapi? Mbona apatikani hata kwenye simu?
Lisu anawaandaa kisaikolojia!Wewe ni msemaji wake anamanisha mipango miovu ya wizi wa kura na mikakati mingine ya kishenzi kwenye uchaguzi
Wewe tuletee habari za Jiwe yuko wapi? Mbona apatikani hata kwenye simu?
Wewe ni msemaji wake anamanisha mipango miovu ya wizi wa kura na mikakati mingine ya kishenzi kwenye uchaguzi
Wewe tuletee habari za Jiwe yuko wapi? Mbona apatikani hata kwenye simu?
Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu amewaambia wafuasi wake kuwa wasipojipanga sawasawa CCM hawataiweza.
Lisu amekiri mbele ya umati wa watu mjini shelui kwamba CCM ni chama kikubwa na inatakiwa pawepo mikakati thabiti wakati wa kuikabili.
Source: Azam TV
Kwenye nyekundu, je, ni 'wafuasi wake' au 'wafuasi wa chama cha Chadema'?Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu amewaambia wafuasi wake kuwa wasipojipanga sawasawa CCM hawataiweza.
Lissu amekiri mbele ya umati wa watu mjini Shelui kwamba CCM ni chama kikubwa na inatakiwa pawepo mikakati thabiti wakati wa kuikabili.
Chanzo: Azam TV
Siku hizi wafuasi ni wa mtu.Kwenye nyekundu, je, ni 'wafuasi wake' au 'wafuasi wa chama cha Chadema'?
Mmejipanga Jf!Tumeshajipanga ondoa wasiwasi TL
Kama iko hivyo KAMPENI za nini?CCM wana dola na tume ya uchaguzi.
Source ?Mzee wa kuokoteza nyuzi.Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu amewaambia wafuasi wake kuwa wasipojipanga sawasawa CCM hawataiweza.
Lissu amekiri mbele ya umati wa watu mjini Shelui kwamba CCM ni chama kikubwa na inatakiwa pawepo mikakati thabiti wakati wa kuikabili.
Chanzo: Azam TV
Hiyo ni wewe umesema.Mmejipanga Jf!
Source huiomi hapo au mbege na kisusio imeshakukolea!Source ?Mzee wa kuokoteza nyuzi.