Tundu Lissu: Uchaguzi wa TLS umekuwa Huru na wa Haki kama ilivyo kawaida yetu

Tundu Lissu: Uchaguzi wa TLS umekuwa Huru na wa Haki kama ilivyo kawaida yetu

Wakili Msomi Tundu Antipas Lisu amesema Uchaguzi wa TLS ulikuwa Huru na Haki kama ilivyo kawaida yao miaka yote

Lisu amesema Jukumu Kuu la TLS ni kusimamia Utawala wa Sheria nchini na kuwawakilisha Wananchi Mahakamani

Source: Mwanahalisi Digital
Tayari
 
Tundu Antipas Lisu amewashukuru Mawakili wote kwa kumsaidia Wakati alipopata madhara ya kushambuliwa

Lisu amesema alihudumu TLS kama Rais kwa miezi 5 tu

Sabato Njema 😄
 
Back
Top Bottom