Uchaguzi 2020 Tundu Lissu umekuwa mtu wa mikwara na kuongea sana, tunaomba matendo. Anza na wabunge walioenguliwa

Shauri ya viherehere
 
Hivi amuoni aibu miaka mitano mnapiga kampeni Lisu kaja juzi tu kelele
 
Kuna wakati tujitahidi kutumia ndom kwenye shoo zetu, Tukiuza mechi hovyo tu matokeo yake tutazidi kuzalisha wadada wa watu watoto wa type kama hizi kichwani nyeupe......
 
Tutaingiza watu barabarani baada ya kutangaza matokeo ya ile nafasi nyeti kuliko zote iwapo tutashinda na mkapindua matokeo.

Kamanda kama uwezi kuingia barabarani kumtetea mbunge utoweza kuingia barabarani kumtetea Rahisi Lissu
 

Mr if your sleeping and waiting Mr Rahisi Lissu to change your life condition it hovious your not supposed to be alive ...,..
 
Umoja wa wanawake CCM mna tabu nyie, first time lissu anatamka hayo mkasema jamaa anahatarisha amani ya nchi, ajabu Leo Huyo huyo uliyepiga kelele amani inahatarishwa ndo wa kwanza kumkumbusha lissu aingie road!

Kamandaaaaa
 

Kwanini Rahisi anapiga mikwara?
 

Kamanda mikwara ya nini oooh tunaingia barabarani halafu hatuwaoni hahaahaha
 

Kamandaaaaaaaa
 

Kamandaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…