M Mangisandy JF-Expert Member Joined Apr 23, 2012 Posts 2,652 Reaction score 2,273 Sep 10, 2020 #41 Ruttashobolwa said: Kamanda mikwara ya nini oooh tunaingia barabarani halafu hatuwaoni hahaahaha Click to expand... Ushabiki wa kitu ambacho kinaharibu amani na mshikamano wa nchi yetu, kana kwamba ni swala la Morrison kucheza Simba au Yangu, siyo jambo jema!
Ruttashobolwa said: Kamanda mikwara ya nini oooh tunaingia barabarani halafu hatuwaoni hahaahaha Click to expand... Ushabiki wa kitu ambacho kinaharibu amani na mshikamano wa nchi yetu, kana kwamba ni swala la Morrison kucheza Simba au Yangu, siyo jambo jema!