Pre GE2025 Tundu Lissu: Viongozi wanaomiliki Timu za mpira wanatakatisha Fedha

Pre GE2025 Tundu Lissu: Viongozi wanaomiliki Timu za mpira wanatakatisha Fedha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tundu Lissu akihutubia katika mkutano wa hadhara jimbo la Singida Magharibi amedai kuwa wanasiasa wanaomiliki timu za mpira wanatakatisha pesa.

iramba.png

“Tunatakiwa tujiulize viongozi wetu wakuu wanamiliki timu za mpira akiwemo Mbunge wenu Mwigulu Nchemba, tunatakiwa tujiulize kuna nini kwenye mpira huko kama sio kutakatisha fedha"

Mnatakiwa mjiulize kuna nini huko kwenye mipira kama siyo kutakatisha Fedha?!

Pia soma

Chanzo: Mwanzo TV Plus
 
Tundu Lissu akihutubia katika mkutano wa hadhara jimbo la Singida Magharibi amedai kuwa wanasiasa wanaomiliki timu za mpira wanatakatisha pesa.


“Tunatakiwa tujiulize viongozi wetu wakuu wanamiliki timu za mpira akiwemo Mbunge wenu Mwigulu Nchemba, tunatakiwa tujiulize kuna nini kwenye mpira huko kama sio kutakatisha fedha"

Mnatakiwa mjiulize kuna nini huko kwenye mipira kama siyo kutakatisha Fedha?!

Chanzo: Mwanzo TV Plus
Duu?!
 
TAHADHARI : Watu wanaoshiriki kombe la shirikisho wasi-comment kwenye huu uzi
 
Tundu Lissu akihutubia katika mkutano wa hadhara jimbo la Singida Magharibi amedai kuwa wanasiasa wanaomiliki timu za mpira wanatakatisha pesa.


“Tunatakiwa tujiulize viongozi wetu wakuu wanamiliki timu za mpira akiwemo Mbunge wenu Mwigulu Nchemba, tunatakiwa tujiulize kuna nini kwenye mpira huko kama sio kutakatisha fedha"

Mnatakiwa mjiulize kuna nini huko kwenye mipira kama siyo kutakatisha Fedha?!

Pia soma

Chanzo: Mwanzo TV Plus
Iko wazi hii kwani sio uwehu anaoufanya sasa hivi
 
Sikio lakufa halisikii dawa. Samia anajisikiaje waziri wa fedha kumiliki timu ya mpira
 
Back
Top Bottom