Tundu Lissu Vs Robert Mugabe Quote

Tundu Lissu Vs Robert Mugabe Quote

Tundu Lissu...unasema habari uliisoma kwenye gazeti la mawio?

Shahidi... Ndiyo

Lissu... Mimi ni mfanyakazi au mhariri wa gazeti la mawio?

Shahidi.. Hapana

lissu... Sasa kwanini umeniunganisha kwenye kesi ya mawio?

Shahidi... Gazeti liliandika habari za uchochezi
(Wrong answer to the right question)
 
Lissu: Umesoma?
Shahidi: Ndio.
Lissu: Una uelewa kidogo wa mambo ya Sheria?
Shahidi; Mi hayo mambo ya Sheria za mahakamani sijui, maana nilisoma Physics.
Lissu: Hata Newton's law of motion si Sheria pia? Nayo hujui?
Shahidi; Najua ....zipo kama tatu.
Lissu: OK, ok ...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey the law of gravity unless you shake it well?
Shahidi: Mimi hiyo sijasoma.
Lissu; Kitu ulicho sema unakifahamu sasa unasema hujui, sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo, hapa unaweza kuwa unaongea kitu usicho kijua?
Shahidi: Sijui
 
Wakili wa serikali: Mhe.Jaji tunaomba utupilie mbali maombi ya pingamizi ya upande wa mlalamikaji maana hati ya maombi imekosewa. Wanatakiwa kumshtaki Mwanasheria mkuu wa serikali na hawajafanya hivyo.
Lissu: Wewe ni wakili wa kujitegemea au wa serikali?
Wakili: wa serikali
Lissu: Unafanya kazi chini ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali?
Wakili: Ndio
Lissu: Sasa kama Mwanasheria mkuu wa serikali hajashtakiwa wewe unafanya nini hapa?
 
Tundu Lissu...unasema habari uliisoma kwenye gazeti la mawio?

Shahidi... Ndiyo

Lissu... Mimi ni mfanyakazi au mhariri wa gazeti la mawio?

Shahidi.. Hapana

lissu... Sasa kwanini umeniunganisha kwenye kesi ya mawio?

Shahidi... Gazeti liliandika habari za uchochezi
(Wrong answer to the right question)
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Lissu: Umesoma?
Shahidi: Ndio.
Lissu: Una uelewa kidogo wa mambo ya Sheria?
Shahidi; Mi hayo mambo ya Sheria za mahakamani sijui, maana nilisoma Physics.
Lissu: Hata Newton's law of motion si Sheria pia? Nayo hujui?
Shahidi; Najua ....zipo kama tatu.
Lissu: OK, ok ...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey the law of gravity unless you shake it well?
Shahidi: Mimi hiyo sijasoma.
Lissu; Kitu ulicho sema unakifahamu sasa unasema hujui, sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo, hapa unaweza kuwa unaongea kitu usicho kijua?
Shahidi: Sijui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
 
Lissu: Umesoma?
Shahidi: Ndio.
Lissu: Una uelewa kidogo wa mambo ya Sheria?
Shahidi; Mi hayo mambo ya Sheria za mahakamani sijui, maana nilisoma Physics.
Lissu: Hata Newton's law of motion si Sheria pia? Nayo hujui?
Shahidi; Najua ....zipo kama tatu.
Lissu: OK, ok ...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey the law of gravity unless you shake it well?
Shahidi: Mimi hiyo sijasoma.
Lissu; Kitu ulicho sema unakifahamu sasa unasema hujui, sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo, hapa unaweza kuwa unaongea kitu usicho kijua?
Shahidi: Sijui
Hii ningekua mimi ndio shahidi ningekimbia
 
Tundu Lissu...unasema habari uliisoma kwenye gazeti la mawio?

Shahidi... Ndiyo

Lissu... Mimi ni mfanyakazi au mhariri wa gazeti la mawio?

Shahidi.. Hapana

lissu... Sasa kwanini umeniunganisha kwenye kesi ya mawio?

Shahidi... Gazeti liliandika habari za uchochezi
(Wrong answer to the right question)
Hahahahaa I lyk this guy
Lissu: Umesoma?
Shahidi: Ndio.
Lissu: Una uelewa kidogo wa mambo ya Sheria?
Shahidi; Mi hayo mambo ya Sheria za mahakamani sijui, maana nilisoma Physics.
Lissu: Hata Newton's law of motion si Sheria pia? Nayo hujui?
Shahidi; Najua ....zipo kama tatu.
Lissu: OK, ok ...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey the law of gravity unless you shake it well?
Shahidi: Mimi hiyo sijasoma.
Lissu; Kitu ulicho sema unakifahamu sasa unasema hujui, sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo, hapa unaweza kuwa unaongea kitu usicho kijua?
Shahidi: Sijui

Wakili wa serikali: Mhe.Jaji tunaomba utupilie mbali maombi ya pingamizi ya upande wa mlalamikaji maana hati ya maombi imekosewa. Wanatakiwa kumshtaki Mwanasheria mkuu wa serikali na hawajafanya hivyo.
Lissu: Wewe ni wakili wa kujitegemea au wa serikali?
Wakili: wa serikali
Lissu: Unafanya kazi chini ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali?
Wakili: Ndio
Lissu: Sasa kama Mwanasheria mkuu wa serikali hajashtakiwa wewe unafanya nini hapa?
 
Wakili wa serikali: Mhe.Jaji tunaomba utupilie mbali maombi ya pingamizi ya upande wa mlalamikaji maana hati ya maombi imekosewa. Wanatakiwa kumshtaki Mwanasheria mkuu wa serikali na hawajafanya hivyo.
Lissu: Wewe ni wakili wa kujitegemea au wa serikali?
Wakili: wa serikali
Lissu: Unafanya kazi chini ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali?
Wakili: Ndio
Lissu: Sasa kama Mwanasheria mkuu wa serikali hajashtakiwa wewe unafanya nini hapa?
Haha haha
 
Back
Top Bottom