MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
"Mfumo wetu wa Elimu lazima uondokane na habari ya kufaulu mitihani pekee na utengeneze Watoto wenye maarifa, tutafanya mabadiliko makubwa kwenye Elimu ikiwa ni pamoja na kuboresha maisha ya Walimu ambao wameteseka miaka nenda rudi "-Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu akiwa Tabora leo
"Walimu wetu ndio Watu wa hali ya chini kuliko Watu wengine wote miaka nenda rudi, huwezi kutengeneza Elimu wakati Mwalimu anadharaulika, Walimu hakikisheni CHADEMA tunashinda ili muondokane na hali hii ya kupuuzwa"- LISSU
"Sheria za Nchi zinasema ni haki ya kila mfanyakazi kupata nyongeza ya mshahara ili aendeshe maisha ila ni miaka 5 sasa yanajengwa Madaraja, SGR na zinanunuliwa Ndege, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara, wameonewa kiasi cha kutosha, mwaka huu semeni sasa basi"-Lissu akiwa Tabora
Source: #MillardAyoUPDATES
"Walimu wetu ndio Watu wa hali ya chini kuliko Watu wengine wote miaka nenda rudi, huwezi kutengeneza Elimu wakati Mwalimu anadharaulika, Walimu hakikisheni CHADEMA tunashinda ili muondokane na hali hii ya kupuuzwa"- LISSU
"Sheria za Nchi zinasema ni haki ya kila mfanyakazi kupata nyongeza ya mshahara ili aendeshe maisha ila ni miaka 5 sasa yanajengwa Madaraja, SGR na zinanunuliwa Ndege, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara, wameonewa kiasi cha kutosha, mwaka huu semeni sasa basi"-Lissu akiwa Tabora
Source: #MillardAyoUPDATES