LGE2024 Tundu Lissu: Wamezuia uwanja wa mkutano lakini hawawezi kuzuia wananchi kutusikiliza

LGE2024 Tundu Lissu: Wamezuia uwanja wa mkutano lakini hawawezi kuzuia wananchi kutusikiliza

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Bara Mhe. Tundu Lissu, akizungumzia tukio lililofanywa na Askari wa Jeshi la Polisi, Tarime kukizingira kiwanja walichatarajia kufanyia mkutano wao wa kampeni eneo la Nyamongo Tarime Vijijini.

 
Oh chadema imekufa, haikubaliki tena, haina sera ohhhhh haikujiandaaz oh oh kumbe. Mnategemea polisi pumbavu
 
Back
Top Bottom