Tundu Lissu yupo wapi?

ThinkPad

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
1,844
Reaction score
235
Jamani hivi huyu mwanasheria mbona sikuhizi hasikiki redio wala tvoni kulikoni jamani ?
 
Mi Tindu Lissu namkubali sana yaani ni kichwa.
 
Anaandika vitabu na kufanya tafiti kule North Mara kuhusu migodi na yupo pamoja na Viongozi wa Kitaifa wa Chadema. Anapitia mikataba ya madini.
 
Aksante sana maana niliona jiiiiiii!!!!
 
Mbona last two weeks alionekana TBC1 akielezea issue ya mgodi wa North Mara?
 
Mbona last two weeks alionekana TBC1 akielezea issue ya mgodi wa North Mara?
Ndio maana nasema kuwa yupo Mara anafanya utafiti wa Athari za sumu toka Mgodi wa North Mara na athali zake pia yupo katika ushauri wa kisheria kuhusu uchaguzi kule biharamulo
 
AU unataka kufata umfanyie umafia wewe, kwanini uulize mtu binafsi humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…