johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utasababisha wengine waghairi kumpigiaUlale unono.
KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME.
Mwanakondoo Ameshindaβ¦β¦.Ulale unono.
KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME.
Itabidi niwepo hapa hadi Mshindi atangazwe Maana hakuna namna
Hamasa ni kubwa sana kama vile tunaiangalia mechi ya football
Lisu ametisha sana π
Mwanakondoo Ameshindaβ¦β¦.
Lisu anashindaItabidi niwepo hapa hadi Mshindi atangazwe Maana hakuna namna
Hamasa ni kubwa sana kama vile tunaiangalia mechi ya football
Lisu ametisha sana π
Tuko hapa Boma Ng'ombe huku kila mtu anasema ni mitano tena kwa MboweπΌItabidi niwepo hapa hadi Mshindi atangazwe Maana hakuna namna
Hamasa ni kubwa sana kama vile tunaiangalia mechi ya football
Lisu ametisha sana π
kuna visungura alikuja navyo lema hapa ukumbini, hawa madogo wa BAVICHA hawaezi kuvimaliza maana wako chakari kuna wawili wanajitapikia tu hapa nje,Itabidi niwepo hapa hadi Mshindi atangazwe Maana hakuna namna
Hamasa ni kubwa sana kama vile tunaiangalia mechi ya football
Lisu ametisha sana π
AminaUlale unono.
KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME.
Kwenye furaha pombe haichaguliwi πkuna visungura alikuja navyo lema hapa ukumbini, hawa madogo wa BAVICHA hawaezi kuvimaliza maana wako chakari kuna wawili wanajitapikia tu hapa nje,
si mje mvichikue mkajivinjari navyo hapo bar gentleman π
Boma ng'ombe au Boma la ng'ombeTuko hapa Boma Ng'ombe huku kila mtu anasema ni mitano tena kwa MboweπΌ
Hiyo sisi hatujali πππKwa bar na online Lissu ana watu wengi ambao sio wapiga kura, ila hapa Mlimani City ambao ndio wajumbe wapiga kurq 65% ni Mbowe tupu
Kwa bar na online Lissu ana watu wengi ambao sio wapiga kura, ila hapa Mlimani City ambao ndio wajumbe wapiga kurq 65% ni Mbowe tupu
Mnajua kwanini mbingu ziligoma kumchukua 7 oktoba 2017?Hata Malaika huko Mbinguni wanataka Lissu ashinde.