Tundu Lisu: Nikishinda hakutakuwa na Maridhiano wala kualikana kwenye Vikao visivyojulikana. Tutakuwa na Mapambano ya kudai HAKI tu!

Tundu Lisu: Nikishinda hakutakuwa na Maridhiano wala kualikana kwenye Vikao visivyojulikana. Tutakuwa na Mapambano ya kudai HAKI tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tundu Lisu amesema akiwa Mwenyekiti wa chadema hakutakuwa na Maridhiano wala kualikana kwenye Vikao visivyojulikana

Lisu amesema Uongozi wake utakuwa ni wa mshikemshike wa kudai haki tu

Lisu amesema Tanzania ni mabingwa wa kupigia chapuo Nchi zinazofuata misingi ya Demokrasia Duniani lakini hawawaelezi Wananchi Kuwa Demokrasia hiyo ilipambaniwa haikuja tu Kwa kualikana

BBC

Mlale unono 😄
 
Hahahaha. Kazi kweli kweli pale kichaa atapopewa rungu
 
Back
Top Bottom