Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Tarehe 15/8/2024 chama cha mapinduzi huko jijini Mwanza kimefanya jambo la aibu ,dhihaka na kejeli mbele ya wazalendo wa nchi hii kwa kuwachangisha masikini ili eti msaliti Lisu apate gari jipya!!!
Tundu Lisu ni wa kukosa hela ya kununulia gari jipya? Hela alizolipwa baada ya kutetea Acacia amepeleka wapi?
Tundu Lisu ni raia halali wa nchi ya Ubelgiji na analipwa kila mwezi na nchi hiyo, pia familia ya Lisu yani mke na watoto wake ni raia halali wa Marekani ambako wanasomeshwa bure na wanapewa hela ya matumizi kila mwezi na Serikali ya USA.
Tundu Lisu alipinga hadharani juhudi za kuyafanya madini ya nchi hii yanufaishe watanzania, Lisu alifikia hatua ya kuiita kamati ya profesa Ossoro kuwa ni professional rubbish wakati ni kamati iliyopelekea kufutwa kwa Acacia na kuundwa kwa kampuni mpya ya Twiga yenye hisa 16% na ambayo mwaka huu ilitoa gawio la zaidi ya billion 54 Serikalini.
Kama Serikali ingesikiliza makelele ya msaliti Lisu kwa Tanzania itashitakiwa MIGA hili gawio kutoka kampuni ya Twiga tungepata wapi?
Nawasihi tu viongozi wa ccm kuacha mara moja tabia ya kutukuza wasaliti wa taifa kwani kufanya hivyo ni kuvunja moyo wa kizalendo ndani ya nchi yetu.
Tundu Lisu ni wa kukosa hela ya kununulia gari jipya? Hela alizolipwa baada ya kutetea Acacia amepeleka wapi?
Tundu Lisu ni raia halali wa nchi ya Ubelgiji na analipwa kila mwezi na nchi hiyo, pia familia ya Lisu yani mke na watoto wake ni raia halali wa Marekani ambako wanasomeshwa bure na wanapewa hela ya matumizi kila mwezi na Serikali ya USA.
Tundu Lisu alipinga hadharani juhudi za kuyafanya madini ya nchi hii yanufaishe watanzania, Lisu alifikia hatua ya kuiita kamati ya profesa Ossoro kuwa ni professional rubbish wakati ni kamati iliyopelekea kufutwa kwa Acacia na kuundwa kwa kampuni mpya ya Twiga yenye hisa 16% na ambayo mwaka huu ilitoa gawio la zaidi ya billion 54 Serikalini.
Kama Serikali ingesikiliza makelele ya msaliti Lisu kwa Tanzania itashitakiwa MIGA hili gawio kutoka kampuni ya Twiga tungepata wapi?
Nawasihi tu viongozi wa ccm kuacha mara moja tabia ya kutukuza wasaliti wa taifa kwani kufanya hivyo ni kuvunja moyo wa kizalendo ndani ya nchi yetu.