hahahahatafuta hela, V8 sio gari za serikali....
hahahaTafuta hakuna foleni benki
Dah hii kwenye mshono kabisa 🪡 pesa hamna misa itaendeshwa na mtoto anayesomea kipaimaraTafuta hela,uzikwe na askofu
Tafuta hela uache kuwa muhudumu kwenye vikao vya familia