Tungekua tu starlink tusingekua tunalialia na cable?? Technological advancement haiepukiki ulimwengu huu

Mgosi Mbena

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2023
Posts
499
Reaction score
604
Kufuatia mtikisiko wa internet serikali ijifunze jambo!……
Sababu hazitatui tatizo hata wakishinda wanaelezea. Tunataka Tanzania mpya Tanzania ya suluhisho siyo ya kujielezea kushindwa au walipofeli

Kwako Tanzania
 
Huwezi linganisha
Kufuatia mtikisiko wa internet serikali ijifunze jambo!……
Sababu hazitatui tatizo hata wakishinda wanaelezea. Tunataka Tanzania mpya Tanzania ya suluhisho siyo ya kujielezea kushindwa au walipofeli

Kwako Tanzania
Kufuatia mtikisiko wa internet serikali ijifunze jambo!……
Sababu hazitatui tatizo hata wakishinda wanaelezea. Tunataka Tanzania mpya Tanzania ya suluhisho siyo ya kujielezea kushindwa au walipofeli

Kwako Tanzania
Technology imekupita kushoto, huwezi linganisha optical fiber na radio link..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…