MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Katiba ya sasa ya Kenya ilipunguza kwa kiwango kikubwa sana vyeo vya kugawa kama Karanga.
Katiba ya Kenya bado naamini ni moja ya katiba bora Africa na ni nchi chache Africa zina katiba ya aina ile.
Ndo maana hadi Majaji au IGP wa police Kenya anatuma maoumbi, Mkaguzi mkuu wa hesabu anatuma maombi ya kazi hio.
Hii nchi baada ya miaka 60 ya Uhuru ndo kwanza tuna speed ya 5g kwenye kugawa vyeo kama karanga.
Hakuna mfumo wa kurithishana kazi mfano watumishi wa Umma kwba ndo wapabde ngazi waje kuwa wakuu wa wilaya, mikoa au Wakurugenzi, hapana.
Gharama za kuhudumia hawa ni kubwa sana, Fikiria wale walio achwa kwenye hizi teuzi za kugawa kama pipi inabidi wagharamikiwe kurudishwa makwao na walipwe viinua mgongo vyao.
Hawa wapya inabidi wasafiriswe wao na Familia zao hadi maeneo yao ya kazi mapya hapa ni pesa za kutosha zinatumika.
Vipi kama mfumo ungekuwa kwa kila wilaya watunishi wanapanda kuwa wakuu wa wilaya au Mkoa au Mkurugenzi? Unazani tungeokoa kiasi gani kusafirisha wateuliwa?
Katiba ya Kenya bado naamini ni moja ya katiba bora Africa na ni nchi chache Africa zina katiba ya aina ile.
Ndo maana hadi Majaji au IGP wa police Kenya anatuma maoumbi, Mkaguzi mkuu wa hesabu anatuma maombi ya kazi hio.
Hii nchi baada ya miaka 60 ya Uhuru ndo kwanza tuna speed ya 5g kwenye kugawa vyeo kama karanga.
Hakuna mfumo wa kurithishana kazi mfano watumishi wa Umma kwba ndo wapabde ngazi waje kuwa wakuu wa wilaya, mikoa au Wakurugenzi, hapana.
Gharama za kuhudumia hawa ni kubwa sana, Fikiria wale walio achwa kwenye hizi teuzi za kugawa kama pipi inabidi wagharamikiwe kurudishwa makwao na walipwe viinua mgongo vyao.
Hawa wapya inabidi wasafiriswe wao na Familia zao hadi maeneo yao ya kazi mapya hapa ni pesa za kutosha zinatumika.
Vipi kama mfumo ungekuwa kwa kila wilaya watunishi wanapanda kuwa wakuu wa wilaya au Mkoa au Mkurugenzi? Unazani tungeokoa kiasi gani kusafirisha wateuliwa?