The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Kuuza cements maeneo yanayojengeka kama mbezi goba, kivule, bagamoyo, maramba mawili ingekuwa sophisticated deal wazee, mi na milioni 1 nifanyeje nifanye hiyo tender businesses au niangalie nini chakuongeza isishukee... Maana nahisi haitoshi 1mil.. nipeni nyenzo wakuu..... Maana maisha yanakabaa sana wakati huu sijui ni mimi tu....