Tungekuwa watu 5 tukawa na milioni 1 kila mtu tufanye biashara

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Kuuza cements maeneo yanayojengeka kama mbezi goba, kivule, bagamoyo, maramba mawili ingekuwa sophisticated deal wazee.

mi na milioni 1 nifanyeje nifanye hiyo tender business nataka ninue hata single product yaani bidhaa moja tu kama ni nondo ni nondo, cements ni cements, au rangi ni rangi. N.K ..
niangalie nini chakuongeza isishukee... Maana nahisi haitoshi 1mil.. nipeni nyenzo wakuu..... Maana maisha yanakabaa sana wakati huu sijui ni mimi tu....
 
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri
Mkuu kwa mtaji ulionao Mimi sikushaur uwaze biashara kubwa Kama hizo vinginevyo hiyo pesa itaishia kukodi frem tu halaf utabaki mikono mitupu.
Tafuta kabiashara kadogo tu Cha kukuingizia elfu 10 kwa siku lakin wakat huo una malengo yako kwamba siku zijazo utakuja kumiliki duka la vifaa vya ujenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…