Inaonekana mkuu mtaalamu wa vigodoroNaombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
Hivi mkuu ni kweli ndio unatuuliza mambo kama haya..? Sasa mungalie mke wa baba yako sifa zake halafu fuata nyayoNaombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
u anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
Hii staili ya tungo ya mleta uzi Nimeipenda haha..