wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Siku ya mechi ya Polisi Moro na Simba zilikutwa tunguli za kishirikina uwanjani, je zilikuwa za timu ipi kati ya Simba na Polisi?
Wengine wanasema za polisi wengine wanasema za Simba walipoona mashabiki wameziona members wa Simba wakakimbilia kuzitoa.
Ukweli ni upi wadau?
Wengine wanasema za polisi wengine wanasema za Simba walipoona mashabiki wameziona members wa Simba wakakimbilia kuzitoa.
Ukweli ni upi wadau?