Tunisia imepitisha Katiba Mpya inayompa madaraka makubwa Rais

Tunisia imepitisha Katiba Mpya inayompa madaraka makubwa Rais

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Tunisia imepitisha katiba mpya, inayompa madaraka makubwa rais, baada ya kufanyika kwa kura ya maoni siku ya Jumatatu, ambayo idadi ndogo ya wapiga kura walijitokeza.

Licha ya idadi ndogo ya wapiga kura ambayo ni asilimia 30, kujitokeza kushiriki kwenye zoewi hilo, waliunga mkono mabadiliko ya katiba kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi.

Wapinzani nchini humo waliosusia, zoezi hilo wamepinga ushindi huo na kusema matokeo yaliyotangazwa ni ya uongo na kilichotokea, kinarudisha nyuma hatua za demokrasia zilizopigwa.

Hata hivyo, rais Kais Saied, ameongoza wafuasi wake kusherehekea mabadiliko hayo anayosema ni ushindi wa nchi ya Tunisia, na inafungua ukurasa mpya wa kisiasa katika taifa hilo la Afrika Kaskazini.

Katiba iliyopitishwa inatoa fursa kwa rais kuwa na madaraka makubwa, kinyume na katiba iliyopita, ambayo madaraka hayo yaligawanywa na bunge.

===============

Tunisia has voted to hand sweeping new powers to the country's president, in a move that critics say risks the return of authoritarian rule to the country.
Fewer than a third of Tunisians voted in the referendum, with 94.6% of those balloted supporting plans to hand President Kais Saied broad new powers.

But opposition groups, who boycotted the vote, said the results were "not credible" and "inflated".
Mr Saied has claimed the changes will break Tunisia's political paralysis. The 64-year-old has already been ruling by decree since this time last year, when he dramatically moved to suspend parliament and dismiss the government.

Tunisia's new constitution would give the head of state full executive control, supreme command of the army and the ability to appoint a government without parliamentary approval.

It would also weaken Tunisia's judiciary and remove checks on the powers of the presidency.

Mr Saied's political rivals accused the country's electoral board of "fraud" and said they would not recognise the newly approved constitution - which is expected to come into force when the final poll results are published.

Mr Saied and the Tunisian electoral commission have yet to comment on the accusations.
Critics fear the new constitution will codify the president's newly-acquired authority, reducing the constraints on his personal powers and eroding the country's relatively young democracy.
 
Back
Top Bottom