Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Rais wa klabu ya #Ghardimaou, Jamil Meftahi, amesema wameshindwa kulipa wachezaji wao kwa sababu #Tunisia iko katika mgogoro wa kiuchumi hali iliyosababisha Wachezaji hao kuzamia Ulaya
Nchi hiyo ni kituo kikubwa cha wakimbizi wanaosafiri kwa meli kwenda Ulaya. Rais #KaisSaied alikataa msaada wa dola za Marekani Bilioni 1.9 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa sababu unajumuisha kupunguza matumizi
............
A Tunisian football club has suspended its activities after 32 of its players emigrated to Europe.
The fourth-division Ghardimaou club's president, Jamil Meftahi, said his players had left either by sea or to Serbia before illegally crossing the border to other European countries.
Tunisians did not need a visa for Serbia until last November.
The club president said he could not pay the players - with Tunisia in the grip of an economic crisis.
The country is a major departure point for ships carrying migrants to Europe.
President Kais Saied has rejected a $1.9bn (£1.5bn) rescue package from the International Monetary Fund (IMF) because it involves spending cuts.
Article share tools
Source: BBC
Nchi hiyo ni kituo kikubwa cha wakimbizi wanaosafiri kwa meli kwenda Ulaya. Rais #KaisSaied alikataa msaada wa dola za Marekani Bilioni 1.9 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa sababu unajumuisha kupunguza matumizi
............
A Tunisian football club has suspended its activities after 32 of its players emigrated to Europe.
The fourth-division Ghardimaou club's president, Jamil Meftahi, said his players had left either by sea or to Serbia before illegally crossing the border to other European countries.
Tunisians did not need a visa for Serbia until last November.
The club president said he could not pay the players - with Tunisia in the grip of an economic crisis.
The country is a major departure point for ships carrying migrants to Europe.
President Kais Saied has rejected a $1.9bn (£1.5bn) rescue package from the International Monetary Fund (IMF) because it involves spending cuts.
Article share tools
Source: BBC