Wakuu habari za asubuhi. Naomba mwenye experience ya kulipia na kutumiwa mzigo na hawa jamaa wa kuitwa Tunzaa online shop, wana application yao pia wapo kwenye app ya mpesa. Kuna jambo nithibitishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.