Tunzo za MTV, TV gani itakuwa live na king'amuzi gani kitahusika

Tunzo za MTV, TV gani itakuwa live na king'amuzi gani kitahusika

kuchangumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
724
Reaction score
290
Wakuu sio vibaya tukatumia frusa hii kujuzana na kupeana uzoefu wa mawili matatu juu ya tunzo za mtv leo kule south africa
Najuwa diamond ni mmoja wa wasanii pekee kutoka tanzania atakayeshiriki
Swali:Tv gani watarusha live?
Swali:Itakuwa saa ngapi time za bongo?
Swali:king'amuzi gani kitahusika?
Ni maswali marahisi kwa baadhi ya watu lakini yakijibika kiufasaha yatasaidia member wengine.
 
mtv itself,....tym ni kuanzia saa tatu usiku.
kuhusu kisumbusi chochot alimradi chaneli ya mtv iwe hewani..ova!!
 
Mbona wengine wansema itakuwa ni saa moja jioni..
 
Wadau kwa mujibu wa MTV base wamesema wataonyesha mama tonight 20:00 sasa ebu ng'amueni hiyo mtv base ipo south au wapi?
 
Wakuu sio vibaya tukatumia frusa hii kujuzana na kupeana uzoefu wa mawili matatu juu ya tunzo za mtv leo kule south africa
Najuwa diamond ni mmoja wa wasanii pekee kutoka tanzania atakayeshiriki
Swali:Tv gani watarusha live?...MTV

Swali:Itakuwa saa ngapi time za bongo?.....saa mbili kamili usiku
Swali:king'amuzi gani kitahusika?...dstv
Ni maswali marahisi kwa baadhi ya watu lakini yakijibika kiufasaha yatasaidia member wengine.

Comments check juu
S
 
Wadau kwa mujibu wa MTV base wamesema wataonyesha mama tonight 20:00 sasa ebu ng'amueni hiyo mtv base ipo south au wapi?
Mkuu ni MTV AMA ( African Music Awards) tonight at 20:00 CAT, huku kwetu ni 21:00.
 
Jaman link ya live streaming vipi wengine hatuna kisimbusi tunatumia tecno n3
 
MTV, MTV Base, BET International na zingine ....kijana wetu Diamond ndo atakaefungua show!
 
Back
Top Bottom