Tuoanane tujuane

Fideliiiz

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
632
Reaction score
407
Za mipango ya hapa na pale wadau wenzangu mada ni hii tufanye mpango tuonane sisi wana jf ili tujuane ni ombi tu sorry kama nimekosea nawasilisha
 
Wale majamaa walikuwa wanawindwa washakamatwa
Haaaaaaa kitambo mbn ,,alipelekwa jamaa mmoja uyo saiv wamempandisha nacheo Aiseeee.

Alafu best ,,ngoja nikuonong'oneze kitu ,,ila usimwambie MTU.
I am going outside to make out ,,Care to join me ??
 
Moja kati ya makosa makubwa jamii forum ni kujuana na kukutana mkuu, angalia usijekupigwa ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…