Pre GE2025 Tuombe Mwaka 2024 Uwe ni Mwaka wa Mageuzi ya Kweli ya Kidemokrasia ya Kweli Tanzania. Tume Huru, Uchaguzi Huru na wa Haki! Happy New Year!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watanzania ni watu pisi sana, hatuna watu wa machafuko type.

Jeshi la Tanzania ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania, TPDF or JWTZ, hivyo sio Jeshi la kufanya mapinduzi

Naomba tuu niheshimu mawazo yako.
P
Hao JWTZ wakati wanataka kumpindua Nyerere miaka ya 80 hawakuwa jeshi la wananchi?

Usichanganye watu peace na waoga, fahamu uoga sio jambo la kudumu. Uoga utafika mwisho tu hasa ukizangatia mabadiliko ya kizazi.
 
CCM hawawezi kukubali hilo. Kwa sasa wanatafuta kukubalika kwa wahisani wetu, ndio maaana unaona hizo sijuiR, na maigizo mengine.
 
Mkuu unaota NDOTO ya mchana CCM imetest MITAMBO yake ya WIZI wa KURA katika Chaguzi za hivi majuzi ni IMEFANIKIWA
 
Pasco tatizo lako jambo dogo rahisi huwa unaliandika Kwa urefu bila sababu ya Msingi.

CCM wanaposema kuwa hitaji la watanzania siyo Katiba Mpya Bali barabara, maji, ajira na mengineyo huwa unawaelewaje???
Ndugu yangu Allen Kilewella, hapo kwa Pascal Mayalla, unampigia mbuzi gitaa.

Ni Tanzania unapowapata watu waliopafata F masomo yote form four hivi leo ni PhD holders.
Na kwa sasa hawa ndio viongozi wakuu wa kitaifa wanaoitafuna nchi kwa urefu wa kamba zao!

Masikini waliopata distinction katika masomo yote form four, wengi wao ni malofa wa kutupwa.
Ndio hao hao wanaozurura na vyetu vyao mitaani na mwisho huishia kuendesha bajaj na boda!
 
Kuna kijana nilimuiliza yaani umesoma miaka 15 ili uje kuwa mwendesha Babaji??

Mwingine anachoma mahindi anajisifu "alivyojigeuza" badala ya kutafuta ajira akaamua kuwa Mchoma mahindi.

Na ni watanzania akili na matendo yetu ndiyo yanayotufikisha Kila mara kwenye ile falsafa ya "heri nusu mkate kuliko kukosa kabisa".

Maandiko yanaonesha Adam na Hawa walikuta watu wengine duniani waliokuwepo kabla yao. Jee na watu hao pia waliumbwa na Mungu. Watu hao siyo sisi kweli??
 
Ngoja tuone
 
Hahaha Allen anajisumbua tu
 
Ndugu yangu Allen Kilewella, hapo kwa Pascal Mayalla, unampigia mbuzi gitaa
mkuu Mag3 .., duh!
Ni Tanzania unapowapata watu waliopafata F masomo yote form four hivi leo ni PhD holders.
duh…!
Na kwa sasa hawa ndio viongozi wakuu wa kitaifa wanaoitafuna nchi kwa urefu wa kamba zao!
unamanisha hata nanilii alipiga mafagio?!.
Masikini waliopata distinction katika masomo yote form four, wengi wao ni malofa wa kutupwa.
Ndio hao hao wanaozurura na vyetu vyao mitaani na mwisho huishia kuendesha bajaj na boda!
dih…!
p
 
wamejenga Animal Farm mpya.
Animal farm!

Wale nguruwe waliweza kutamba sababu majority walikuwa kondoo wasiokuwa na uwezo wa kushughulisha ubongo wao.

Kuna mfanano wa kutisha na taifa letu; labda twaweza pia kujiuliza, tukifanikiwa kuwatoa hawa nguruwe tutapata unafuu?

Mabadiliko tunayolenga sharti yawe yenye maslahi na faida kwa mwananchi, na yasiongozwe na hawa wabinafsi wanaojiita wanasiasa.
 
Tuliwaondoa watawala weupe kwa pamoja tukijua tutajenga taifa la asali na maziwa pasipo kujua kati yetu tunaowaamini ni waroho na wabinafsi kuliko wakoloni tuliowaondoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…