Tuombe Raila Odinga msaliti wa Gen Z abwagwe kwenye kinyang'anyiro cha mkuu wa African Union Commission chair kieleweke na tuone ataenda wapi

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039

Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) watapiga kura jumamosi kumchagua mwenyekiti wa Commission hii. Kwa wanaojua alivyosaliti mapinduzi yaliyolenga kumuondoa mwizi Ruto, Raila anakashifiwa na wakenya kwa kuwa msaliti na nyemelezi mkubwa. Tumuombee ashindwe ili ima kiumane au tuone atakwenda wapi baada ya kubwagwa.

Karibuni.

 
Anatamani kitu 1 tu sasa.....Urais pekeyale.....kama pesa anazooo umaarufu tele...PM ameshakuwa....bado Rais tu
 
Namuombea apate hio Tu at least kiu yake ya madaraka ipungue au iishe KABLA hajamrudia muumba wake. Nimeanza kumsikia Raila miaka mingi Sana yeye na The Late George Saitoti ambaye Walimu....alipata Ajali ya ndege wakati SIASA za Kenya zikiwa hot
 
Naunga mkono hoja, msaliti hatakiwi kupewa baraka zozote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…