Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) watapiga kura jumamosi kumchagua mwenyekiti wa Commission hii. Kwa wanaojua alivyosaliti mapinduzi yaliyolenga kumuondoa mwizi Ruto, Raila anakashifiwa na wakenya kwa kuwa msaliti na nyemelezi mkubwa. Tumuombee ashindwe ili ima kiumane au tuone atakwenda wapi baada ya kubwagwa.
Namuombea apate hio Tu at least kiu yake ya madaraka ipungue au iishe KABLA hajamrudia muumba wake. Nimeanza kumsikia Raila miaka mingi Sana yeye na The Late George Saitoti ambaye Walimu....alipata Ajali ya ndege wakati SIASA za Kenya zikiwa hot
Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) watapiga kura jumamosi kumchagua mwenyekiti wa Commission hii. Kwa wanaojua alivyosaliti mapinduzi yaliyolenga kumuondoa mwizi Ruto, Raila anakashifiwa na wakenya kwa kuwa msaliti na nyemelezi mkubwa. Tumuombee ashindwe ili ima kiumane au tuone atakwenda wapi baada ya kubwagwa.